Thursday, 8 June 2017

UHARIBIFU WA MAZINGIRA

Jinsi uharibifu wa mazingira unavyoenea kwa kasi katika maeneo mbalimbali hapa nchini.Uharibifu huu unasababishwa na shughuli za ukataji mikaa,upanuzi wa maeneo ya kilimo ya usiozingatia sera,sheria, kanuni na taratibu

Vitendo vya uchomaji moto,ukataji miti unavyoenea
 katika maeneo mengi wilayani Kibondo 2016
.

No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...