Kufanya matambiko katika mila ya jamii ya kimasai ni muhimu sana kutokana na imani na
utaratibu wa kila koo. Shughuli hizi huwa zinafanywa kwa muda maalum na kila koo.
Mfano ukoo wa Molel Tambiko huwa linafanywa mwanzoni mwa mwaka kwa ajili
ya kuomba neema za ALLAH katika mwaka husika.Ukoo wa Laizer wao hufanya
katikati ya mwaka kuashiria kipindi cha mavuno,majani kukauka na kuomba fadhila
kwa Mwenyezi Mungu katika kipindi hicho.
utaratibu wa kila koo. Shughuli hizi huwa zinafanywa kwa muda maalum na kila koo.
Mfano ukoo wa Molel Tambiko huwa linafanywa mwanzoni mwa mwaka kwa ajili
ya kuomba neema za ALLAH katika mwaka husika.Ukoo wa Laizer wao hufanya
katikati ya mwaka kuashiria kipindi cha mavuno,majani kukauka na kuomba fadhila
kwa Mwenyezi Mungu katika kipindi hicho.
Mzee Ndaadu Oloipuki akifanya tambiko katika sherehe za kumsika
uzee Bw.Arangai Olekonor katika kijjij cha Orpopong'i wilayani kiteto June 2014.
No comments:
Post a Comment