Thursday, 8 June 2017

TAMBIKO LA JAMII YA KIMASAI

Kufanya matambiko  katika mila ya jamii ya kimasai ni muhimu sana kutokana na imani na
utaratibu wa kila koo. Shughuli hizi huwa zinafanywa kwa muda maalum na kila koo.
Mfano ukoo wa Molel Tambiko huwa linafanywa mwanzoni mwa mwaka kwa ajili
ya kuomba neema za ALLAH katika mwaka husika.Ukoo wa Laizer wao hufanya
katikati ya mwaka kuashiria kipindi cha mavuno,majani kukauka na kuomba fadhila
kwa Mwenyezi Mungu katika kipindi hicho.
 Mzee Ndaadu Oloipuki akifanya tambiko katika sherehe za kumsika
 uzee Bw.Arangai Olekonor katika kijjij cha Orpopong'i wilayani kiteto June 2014.

No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...