Thursday, 8 June 2017

PROGRAM YA UTENGAJI MAENEO YA MALISHO YA MIFUGO

Wataalam na wanachi wa vijjij vitatu Ngapapa,Lerug na Orkitikiti wakiwa katka mikutano ya kutenga maeneo ya malisho na kilimo.programu hii  infadhiliwa na shirika la SIDA kupitia wizara ya mifugo na kilimo. Mradi huu unajulikan kw jina la OLENGAPA

  
Wataalam wa mifugo wakiwasili katika mikutano ya uhamasishaji
katika vijiji vya  Lerug,Ngapapa na Orkitikiti


 
    Wataalam wa mifugo wakifafanua jinsi mchakato wa utengaji wa maeneo 
ya malisho, kilimo na misitu inavyotengwa kwa mujibu wa sera na sheria


Wanachi wakiwa katika mkutano  wa pamoja wakiwasikilaza kwa 
 makini wataalam toka katika halmashauri ya wilaya ya Kiteto na wizara ya
 mifugo.kampeni za uhamasishaji zilizofanyika mwezi Juni 2015


No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...