Wataalam wa mifugo wakiwasili katika mikutano ya uhamasishaji
katika vijiji vya Lerug,Ngapapa na Orkitikiti
Wataalam wa mifugo wakifafanua jinsi mchakato wa utengaji wa maeneo
ya malisho, kilimo na misitu inavyotengwa kwa mujibu wa sera na sheria
Wanachi wakiwa katika mkutano wa pamoja wakiwasikilaza kwa
makini wataalam toka katika halmashauri ya wilaya ya Kiteto na wizara ya
mifugo.kampeni za uhamasishaji zilizofanyika mwezi Juni 2015
No comments:
Post a Comment