Thursday, 8 June 2017

UFUGAJI WA ASILI

Ufugaji wa asili  ni ufugaji ambao hufanyika katika maeneo huru kwa kuzingatia utaalamwa wa asili.Aina ya ufugaji huu umekuwa ukiwasaida  jamii kubwa ya watanzania kitika kufanya shughuli za kimaisha shughuli hizo ni kama vile kugharamia huduma za matibabu,chakula na mavazi,kugharamia huduma za elimu na shughuli nyinginezo.

kundi la mbuzi na kondoo katika kijiji cha  Terat 
Wilayani Simanjiro Aprili 2014

No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...