Namna au jnsi ya kuandaa chakula katika utamaduni wa jamii ya kimasai.Jinsi ya kuandaa maziwa yamgando au mabichi ni tofauti na jinsi ya kuandaa nyama choma.Nyama choma katika jamii ya kimasai huwa inaandaliwa maalum ikiwepo kuandaa eneo la kuchomea,kuandaa kuni,na madawa ya asili ya kuwekwa nyama kabla ya kuchomwa.Uchomaji nyama hufanywa na kundi maalum la watu wenye utaalam wa jinsi ya kuchoma nyama kiasili.
.
Jinsi ya kuandaa chakula aina ya nyama choma katika jamii ya kimasasi tukio
lilofanyika katika kijiji cha Terat wilayani Simanjiro August 2016
No comments:
Post a Comment