Thursday, 8 June 2017

WANYAMA DUME BORA

Ufugaji bora hutegemea madume bora yenye mbegu ambayo yameendaliwa ili kuweza  kukabiliana na mazingira kame pamoja  na aina ya mifugo ambayo madume hayo yanaandaliwa. Madume bora husaidia wafugaji kuwa na mifugo bora ambayo hukua kwa muda mfupi.

Dume aina ya Boran ambayo amechukuliwa katika kambi ya mifugo ilyopo Tengeru 2013.

No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...