Monday, 12 June 2017

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka mapambano haya. Vita hii ni kubwa ni lazima wote tushikamne kupinga uporaji unaofanywa na wachache wa kutumia rasilimali zetu kwa manufaa yao wenyewe.
Mh Rais ninakupongeza sana kwa hatua unazochukua,hakika nia yako ya kulikomboa taifa imedhirika wazi, na ninakuombea kwa mwenyzi mungu azidi kukupa nguvu, uzima na afya ili uweze kutuleta maendeleo.

No comments:

Post a Comment

Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake   amuunge Mh Rais wetu mkono katka...