Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake amuunge Mh Rais wetu mkono katka mapambano haya. Vita hii ni kubwa ni lazima wote tushikamne kupinga uporaji unaofanywa na wachache wa kutumia rasilimali zetu kwa manufaa yao wenyewe.
Mh Rais ninakupongeza sana kwa hatua unazochukua,hakika nia yako ya kulikomboa taifa imedhirika wazi, na ninakuombea kwa mwenyzi mungu azidi kukupa nguvu, uzima na afya ili uweze kutuleta maendeleo.
Monday, 12 June 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hakika kwa hili la uwizi wa rasilimali za taifa, ni lazima kila mtanzania mwenye nia dhabiti na nchi yake amuunge Mh Rais wetu mkono katka...
-
Kufanya matambiko katika mila ya jamii ya kimasai ni muhimu sana kutokana na imani na utaratibu wa kila koo. Shughuli hizi huwa zinafany...
-
Ufugaji bora hutegemea madume bora yenye mbegu ambayo yameendaliwa ili kuweza kukabiliana na mazingira kame pamoja na aina ya mifugo ambay...
-
Namna au jnsi ya kuandaa chakula katika utamaduni wa jamii ya kimasai.Jinsi ya kuandaa maziwa ya mgando au mabichi ni tofauti na jinsi ya ...
No comments:
Post a Comment